Waziri Bashungwa awataka Wasanii kuachana na Malumbano
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wasanii wa Tanzania kutumia muda wao vizuri na kuachana na malumbano, ili kupata muda wa kutengeneza kazi zenye ubora na mvuto kwa watazamaji na wasikilizaji ambazo zitawanufaisha. Mhe. Bashungwa ametoa kauli hiyo leo Disemba 2, 2021 jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza katika hafla fupi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed